Pages

Monday, 28 December 2015

Nangatai



Nangatai 



Vipimo

Unga wa ngano 2 - 2 ¼ Vikombe
Siagi 1 ½ Kikombe
Sukari 1 Kikombe
Yai 1
Vanilla Tone moja
Baking Powder 2 Vijiko vya supu
Chumvi Kiasi kidogo (pinch)
Unga wa Kastadi 2 Vijiko vya supu

Namna ya kutayarisha na kupika

1. Changanya vitu vyote isipokuwa unga.
2. Tia unga kidogo kidogo mpaka mchanganyiko uwe sawa.
3. Kisha fanya duara ndogo ndogo uzipange kwenye treya na utie rangi katikati.
4. Halafu zichome katika moto wa 300°F kwa muda wa dakika 20 - 25 na zisiwe browni .
5. Kisha panga kwenye sahani tayari kuliwa na chai.


Nangatai 

Vipimo

Unga wa ngano 2 - 2 ¼ Vikombe
Siagi 1 ½ Kikombe
Sukari 1 Kikombe
Yai 1.
Vanilla Tone moja
Baking Powder 2 Vijiko vya supu
Chumvi Kiasi kidogo (pinch)
Unga wa Kastadi 2 Vijiko vya supu

Namna ya kutayarisha na kupika

1. Changanya vitu vyote isipokuwa unga.
2. Tia unga kidogo kidogo mpaka mchanganyiko uwe sawa.
3. Kisha fanya duara ndogo ndogo uzipange kwenye treya na utie rangi katikati.
4. Halafu zichome katika moto wa 300°F kwa muda wa dakika 20 - 25 na zisiwe browni .
5. Kisha panga kwenye sahani tayari kuliwa na chai.
»


 

Saturday, 26 December 2015

Vileja Vya Mchele




VIPIMO


Unga wa mchele 500g
Samli 250g
Sukari 250g
Hiliki iliyosagwa 1/2 kijiko cha chai
Arki (rose flavour) 1/2 kijiko cha chai
Baking powder 1 kijiko cha chai
Mayai 4
Maji ya baridi 1/2 kikombe cha chai